Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mamlaka ya Elimu Tanzania yachangia wanafunzi 125

Alhamisi , 29th Sep , 2022

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) siku ya leo wamechangia taulo za kike pakiti 1500 katika kampeni ya Namthamini ambazo zitaweza kuwasaidia wanafunzi 125 kwa mwaka mzima wakiwa shule.

Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Bahati Geuzye akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahusiano wa IPP, Nancy Mwanyika.

TEA wamekabidhi taulo za kike katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio ambapo Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Bahati Geuzye amesema wametoa mchango wao ili kuwasaidia wanafunzi wanaosoma katika mazingira magumu wasikose masomo yao shuleni wakiwa katika kipindi cha hedhi.

Kampeni ya Namthamini imejikita katika kuwasadia wanafunzi wa kike mashuleni kupata taulo za kike na kuhakikisha elimu ya hedhi salama inafika kwa wanafunzi nchini.

Pia Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Bahati Geuzye alipata nafasi ya kuongea katika kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio na kipindi cha DADAZ cha East Africa TV na kueleza namna walivyoguswa na kuamua kuchangia kampeni ya Namthamini.

Kampeni ya Namthamini ilizinduliwa Mei 27 mwaka huu, na Septemba 19 mwaka huu ilianza kugawa taulo za kike mashuleni kwa kuanzia katika mkoa wa Mtwara, ambapo shule 9 kutoka Wilaya ya Mtwara, Masasi na Nanyumbu zilipatiwa taulo za kike jumla ya pakiti 6,937 kwa wilaya zote tatu.

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava