Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mjerumani aeleza alivyompenda Mmaasai

Jumamosi , 6th Mar , 2021

Stephanie Fuchs ni mzaliwa wa nchini Ujerumani, ameeleza safari yake ya mahusiano mpaka ndoa na mume wake Sokoine ambaye ni Mmasai na mkazi wa Kiteto na kusema kuwa walikutana na mume wake huyo miaka 9 iliyopita na alimuona kwenye Kisiwa cha Mafia na kuvutiwa naye.

Stephanie Fuchs akiwa na mume wake Sokoine na mtoto wao

Stephanie ameyaeleza hayo kwenye kipindi cha MadiniDotCom kinachoruka kila siku za Jumamosi kuanzia saa 9:00 hadi saa 10:00 jioni ndani ya East Africa Radio ambapo pia ameeleza jinsi anavyowapenda watanzania kwa kuwa ni wakarimu na wenye upendo.

Stephanie ameeleza pia wakati alivyovutiwa na Sokoine kwa mara ya kwanza kumbe Sokoine naye alikuwa amevutiwa na Stephanie na ndipo baadaye Sokoine alianza kumfuatilia na kisha kumuambia kama anampenda na safari yao ya mahusiano ikaanza rasmi

"Siku ya kwanza kukanyaga kisiwa cha Mafia ndiyo nilikutana na mume wangu Sokoine, yaani hiyo siku nilitembelea tu kijijini kutaka kuona mazingira nikakutana na Masai watatu na nilivyomuona yeye nilimpenda tu, unajua ukimuona mtu sekunde ya kwanza unampenda," ameeleza Stephanie 

Aidha ameongeza kuwa "Nina miaka 11 Tanzania na nina miaka 9 sasa niko na mume wangu Masai, nilikuja hapa Tanzania kufanya volunteering ya utafiti wa mambo ya uhifadhi, nilianza kufanya kazi Ifakara tulikuwa na 'camp' ya wanyama na nilijifunza Kiswahili kule kule".
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa