Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mpenzi wa Dulla achukizwa alivyojifanya mwanamke

Jumanne , 11th Feb , 2020

Fia Makabila ambaye ni 'EX' wa Dulla Makabila, amesema hajapendezwa na kitendo alichokifanya msanii huyo kwa kujipaka urembo na kuonekana kama mwanamke kisha kupost picha na video mitandaoni.

Picha ya Dulla Makabila katika muonekano wa kike

Fia Makabila amesema anamjua Dulla vizuri, ile sio akili yake bali ameshauriwa na viongozi wake au kampani ya marafiki ambao wanamzunguka, na angefanya tukio hilo wakati wapo kwenye mahusiano asingeweza kumvumilia.

"Yule ni yeye kweli na mimi kama mzazi sijapenda alivyofanya, nafikiri hata mama yake atakuwa hajalifurahia hilo suala, kama akiliona kama mzazi wake, ingenitokea mimi nisingelichukulia dogo na hakuna aliyelifurahia kwa sababu yeye ni mwanaume na vitu kama vile anatakiwa afanye mtoto wa kike" ameeleza.

Aidha Fia Makabila ameendelea kusema  "Dulla Makabila ajitahidi huenda akafika mbali akitumia masuala hayo, anaweza akawa amekaa na viongozi wake au watu wengi watakuwa  wamemshauri afanye hivyo, yeye asingeweza kufanya hivyo akili yake naijua ila angekuwa demu angekuwa mzuri sana".

Pia amesema yeye na Dulla Makabila wameachana mwezi mmoja uliopita, na amekataa kama alikuwa 'Kiben ten' chake kwa kumlea ila walikuwa wanaleana.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine