Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii aeleza alivyoenda kwa mganga

Jumatano , 3rd Jun , 2020

Msanii Natasha Lisimo ambaye zamani alikuwa anafahamika kwa jina la Khadja Nito amesema, alipitia magumu alipoenda kwa mganga na kuambiwa kutekeleza maagizo kwa kupewa hirizi, kuchinja Kuku, Mbuzi na kulala makaburini pamoja na kutupiwa ugonjwa wa UKIMWI.

Msanii wa injili Natasha Lisimo

Akizungumza kwenye kipindi cha MamaMia ya East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 4:00 Asubuhi hadi 6:00 mchana, Natasha Lisimo amesema licha ya kwenda kwa mganga lakini bado aliona mambo yake yanamuendea vibaya.

"Utaenda kwa mganga kama mambo yako hayakai sawa au watu kupoteza interest na wewe, mimi nilivyoenda kwa mganga hakukuwa na matokeo mazuri bali niliona giza zaidi, Mganga aliniambia nimepandikiziwa ugonjwa wa ukimwi nikamwambia akome kwamba sina ugonjwa huo, nia yangu nilivyoenda kwa mganga nilitaka mambo yangu yaonekane nipate kazi au show" ameeleza Natasha Lisimo.

"Nimeshachinja Kuku, Mbuzi na kulala makaburini, waganga waongo sana wanakwambia mtu fulani au msanii anakuibia nyota yako na anakutajia hadi jina kabisa, kuna siku akamhusisha Mama yangu mzazi nili-mind na kuanza kumkaripia hapohapo nikaondoka" ameongeza.

Kwa sasa msanii huyo ameokoka na ameachana na miziki ya kidunia na anaimba nyimbo za Injili.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu