Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mwanaume akinisaliti nitamsamehe" - Bella Kombo

Jumatano , 11th Mar , 2020

Msanii wa Injili Bella Kombo, amefunguka na kusema yupo tayari kumsamehe mwanaume wake hata kama akimsaliti kwa sababu ataangalia haki iko wapi.

Msanii wa injili Bella Kombo

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, Bella Kombo amesema yeye ni mlokole halisi, ambaye ameokoka na Mungu amemuita na kumchagua ili kumtumikia katika maisha yake yote yaliyobaki kwa sababu huko nyuma alikuwa mkosefu sana.

"Najivunia kuwa mwanamke, najiona mwenye nguvu na ninaweza kuyashinda majaribu makubwa yanapokuja, halafu wanawake tuna moyo wa uvumilivu, mimi naweza kumvumilia  hata  mwanaume wangu akinisaliti kwa sababu nitaangalia upande wa haki ni upi" ameeleza Bella Kombo.

Pia msanii huyo wa Injili ameendelea kusema  "Siwezi kuolewa kwa mara ya pili kwa sababu ndoa unatakiwa uolewa mara moja, lakini Mungu ndiye anayenipangia kama akipanga niolewe tena siwezi kukataa japokuwa sasa hivi nina ndoa tayari" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava