Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mwanaume anaridhikaje na mke mmoja"- Musa

Jumatano , 28th Dec , 2022

Musa Hasahya ni mkulima kutoka Butaleja nchini Uganda ambaye ana wake 12, watoto 102 na wajukuu 568 amesema kwamba hatoongeza tena ukubwa wa familia yake kutokana na kupanda kwa gharama za maisha.

Musa akiwa na watoto wake

Musa ameamua kuchukua hatua hiyo baada ya kuwataka wake zake kuanza kutumia uzazi wa mpango ili familia iweze kununua mahitaji ya chakula yatakayokidhi familia.

"Kipato changu kimekuwa kikishuka chini kutokana na kupanda kwa gharama za maisha na familia yangu imekuwa kubwa na kubwa zaidi, nilioa mwanamke mmoja baada ya mwingine, mwanaume anawezaje kuridhika na mwanamke mmoja," amesema Musa

Kuoa wake wengi ni halali nchini Uganda, lakini wake zake wote wanakaa kwenye nyumba moja ili kuwazuia wasiweze kutoroka na wanaume wengine.

Aidha Musa hawezi tena kufanya kazi kwa sababu ya afya yake kuzorota kutokana na maradhi na wake zake wawili wameondoka kutokana na changamoto za kifedha.

Zulaika, mke wake mdogo na mama wa watoto wake 11, amesema, "Sina watoto tena, nimeona hali mbaya ya kifedha na sasa natumia tembe (vidonge) ya kupanga uzazi, Lakini dawa za kupanga uzazi ni mwiko nchini, kwani mara nyingi zinahusishwa na uasherati,".

Umri wa watoto wa Musa ni kati ya miaka sita hadi 51, na takriban theluthi moja ya watoto wake wanaishi na Musa nyumbani kwake.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA