Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyangumi mjamzito afariki na kilo 22 za plastiki

Jumatatu , 1st Apr , 2019

Mzoga wa nyangumi mjamzito ambao ulisombwa na maji hadi katika fukwe ya Sardinia nchini Italia, umekutwa na kilo 22 za plastiki tumboni pamoja na kichanga kilichokufa.

Nyangumi

Kwa mujibu wa Rais wa kundi moja la utunzaji mazingira la SeaMe nchini Italia, Luca Bittau, ameiambia CNN kuwa miongoni mwa vitu vilivyokutwa katika tumbo la nyangumi huyo ni mifuko ya uchafu, nyavu za kuvulia samaki, mabomba na mifuko ya sabuni za maji za kufulia nguo.

Nyangumi huyo mwenye urefu wa mita 8 na futi 26, alisombwa kutoka baharini hadi katika fukwe ya Sardinia, ambapo amesema kuwa chanzo cha kifo chake kitajulikana baada ya uchunguzi wa wataalamu wa wanyama nchini humo.

Naye Waziri wa mazingira wa Italia, Sergio Costa amesema kuwa serikali inalichukulia tatizo hilo kama changamoto kubwa katika utunzaji wa mazingira, akisisitiza kuwa nchi yake itakuwa ya kwanza kutekeleza sheria iliyopitishwa na bunge la Ulaya la kupiga marufuku kusambaa kwa vifungashio vya plastiki ili kulinda tishio la uhai wa viumbe wa majini.

Tukio lingine linalomhusu nyangumi

 

Licha ya tukio hilo, mwezi uliopita, nyangumi mwingine mdogo alikutwa amekufa nchini Ufilipino, akiwa na kilo 40 za plastiki tumboni.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu