Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pele alilipwa kwa kufunga kamba za viatu

Jumatatu , 2nd Jan , 2023

Katika fainali za Kombe la Dunia mwaka 1970, Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele aliweka rekodi ya kupata dili la kwanza kubwa la kutangaza viatu katika historia ya mpira wa miguu.

Pele enzi za uhai wake akicheza soka.

Ndugu wawili Rudolf Dassler aliyekuwa mmiliki wa Puma na Adolf Dassler aliyekuwa mmiliki wa Adidas waliingia katika vita ya biashara na kutengana, baada ya Puma kufanikiwa kumpata Pele kwa ajili ya kutangaza viatu vyao.

Pele alipewa ofa ya $25,000 (Tsh milioni 58) kwa ajili ya kuvaa puma katika Kombe la Dunia kwa sharti moja tu, kabla ya mechi kuanza ainame kufunga kamba za viatu ambapo camera zote zitammulika na kupelekea viatu vya Puma kuonekana.

Baada ya Pele kufanya kitendo hicho mauzo ya viatu vya Puma yaliongezeka kwa 300% na kuweka rekodi ya mauzo kwa mwaka huo, na Pele akapewa ofa nyingine ya $100,000 (Tsh milioni 233) kuvaa Puma kwa misimu minne.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava