Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Rais Magufuli ni mkali sana'' - Wahadzabe

Jumanne , 18th Jun , 2019

Baada ya muda mrefu, hatimaye Jamii ndogo ya kabila la Wahadzabe ambao kwa asili husishi mapangoni na chini ya mibuyu mikubwa imeanza kutambua umuhimu wa watoto wao kupata elimu.

Baadhi ya wanajamii wa kabila la Wahadzabe

www.eatv.tv kupitia kwa mwandishi wake Dotto Kadoshi, imewatembelea wananchi hao waishio katika Bonde la Eyasi wilayani Karatu mkoani Arusha ambapo wameeleza kuwa wameelewa kuwa elimu itawasaidia, kukabiliana vyema na mabadiliko ya tabia nchi ambayo tayari yameonekana kuanza kuathiri mfumo mzima wa maisha yao ya asili.

Jamii hiyo ambayo kwa asili, pamoja na kuishi mapangoni au chini ya mibuyu mikubwa lakini pia huendesha maisha yao kwa kuwinda, kuokota matunda, kuchimba mizizi porini na kula nyama mbichi hususani ya nyani, sasa wameanza kubadili mtazamo wao wa kifikra juu ya elimu kwa watoto wao.

Hata hivyo Jamii hiyo imeonesha wasiwasi wake wa kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu yake ya asili ya kila siku kutokana na kuingiliwa maeneo yao na baadhi ya jamii nyingine.

Asili ya Jamii ya kabila la Wahadzabe inaelezwa ni Afrika Kusini, ambapo katika harakati zao za uwindaji na kusaka matunda maelfu ya miaka iliyopita waliingia Tanganyika kupitia misitu ya Kongo.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali