Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ratiba kamili za mazishi ya Baba wa Kanumba

Jumatatu , 9th Mar , 2020

Siku ya Machi 8, 2020 zilitoka taarifa za kifo cha Baba wa aliyekuwa staa wa filamu hapa nchini Steven Kanumba, aitwaye Charles Kanumba, aliyefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mkoa wa Shinyanga.

Picha ya marehemu Baba Kanumba

Kupitia EATV & EA Radio Digital, imempata Happyness Charles ambaye ni mmoja wa watoto wa marehemu Baba Kanumba, akielezea kuhusu sababu ya kifo cha mzee huyo pamoja na ratiba kamili za mazishi ya msiba huo.

"Taratibu za mazishi yenyewe yataanza  kesho Jumanne, ambapo tutaaga mwili wa marehemu kuanzia saa 8 mchana kisha kuelekea nyumbani kwao Busega Mwanza, ambapo tutazikia siku ya Jumatano mida ya saa 7 mchana, halafu tutarudi kumalizia msiba nyumbani kwake Shinyanga"  ameeleza Happyness Charles.

"Baba ameanza kuumwa kichwa, tumbo na miguu kwa muda mrefu sana, alianza kuugua kabla ya Kanumba hajafariki kwa sababu alikuwa anaumwa polepole, kwahiyo kadri siku zinavyoenda hali inazidi kubadilika ghafla kisha akafariki" ameongeza

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava