Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Kunenge atoa tamko kwa mama wa Tandale

Alhamisi , 12th Nov , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakar Kunenge amesema atalifanyia kazi tukio la mama mmoja ambaye alisimulia kupotea kwa mtoto wake wa kiume kisha kumkuta kwenye choo akiwa amefariki.

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakar Kunenge

Mama huyo alijitambulisha kwa jina la Mariam Aly mkazi wa Tandale kwa Mtoogole alitoa taarifa hiyo kupitia show ya DADAZ ya East Africa TV, ambapo amesema mwanaye anaitwa Fahad ana umri wa mwaka mmoja na miezi 10 na alipotea kwa mazingira ya kutatanisha.

Mariam Aly akaendelea kusema tukio hilo lilitokea siku ya Oktoba 26, ila baada ya kupita siku 3 walikuta mwili wa mtoto wake upo kwenye shimo la choo akiwa amefariki na alidai jirani yake ndiyo alimtupa mwanaye kwenye choo hicho.

Aidha ameongeza kusema kesi ikafika kituo cha polisi lakini kwa bahati mbaya hakupata ushirikiano kutoka kwa polisi hao ambao walimjibu afanye upepelezi mwenyewe kuhusu tukio la mtoto wake.

Taarifa hiyo imemfikia Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakar Kunenge, ambapo baada ya kuona  video fupi aliyo-post mtangazaji wa DADAZ Maye Kidoti kupitia ukurasa wa Instagram aka-comment kuwa "ahsante kwa taarifa, nalifanyia kazi".

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu