Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ripoti mpya ya taarifa kuhusu kifo cha George

Jumanne , 2nd Jun , 2020

Taarifa mpya kuhusu kifo cha raia George Floyd ambaye ameuliwa na polisi Derek Chauvin wiki iliyopita inaeleza kuwa, marehemu alipatwa na mshtuko wa moyo na kufeli kwa mishipa ya damu wakati alivyokamatwa na polisi huyo.

Baadhi ya waandamanaji wakishika mabango yanayoeleza kutaka haki kuhusu kifo cha George Flyod dhidi ya polisi

Ripoti hiyo imetolewa na kituo cha matibabu cha  "The Hennepin County Medical Examine" kimeongeza kusema wamegundua marehemu George Floyd siku za karibuni kabla ya kifo chake alikuwa anatumia madawa ya kulevya aina ya Methamphetamine.

Pia ripoti imeendelea kueleza kuwa aina ya sababu ya kifo chake ni mauaji, ambapo polisi alimkandamiza kwa kutumia goti lake  shingoni mwa George Floyd hadi kufariki.

Kwa upande wa mwanamichezo tajiri duniani Floyd Mayweather amejitolea kulipa huduma na gharama zote za mazishi ya George Floyd siku ya Juni 9, 2020 yenye ya thamani ya Tsh Milioni 204, kwenda kwenye miji mitatu tofauti ambayo ni Houston, Minnesota, na Charlotte nchini Marekani.

Kwa sasa polisi ambaye amefanya tukio hilo  Derek Chauvin na wenzake wanne wamefukuzwa kazi huko Minneapolis, Marekani kisha  kukabiliwa na kesi ya mauaji ya juu "First degree murder"
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava