Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Silaha kubwa 2 za mwanamke zinazomteka mwanaume

Jumatano , 10th Jul , 2019

Katika mazingira ya kawaida hakuna binadamu ambaye hakosi wivu, kwa sababu uko kiasili na ni muhimu katika masuala mbalimbali.

Wapenzi

Lakini wivu ukizidi huwa na hasara zake, kwa leo tunaangazia wivu hasa katika mahusiano ya kimapenzi ambapo kupitia DADAZ ya EATV, Mtaalamu wa Saikolojia ya mwanadamu, Cosmas Madulu ameeleza faida na hasara za wivu katika mahusinao.

Kwanza bwana Cosmas anasema kuwa wivu unahitajika sana katika mahusiano, mmoja wapo katika mahusiano akiwa hana wivu kwa mwenzie basi ana tatizo la kisaikolojia lakini ukizidi pia ni hatari kwa wahusika,"wivu ni chakula cha nafsi ambacho kinamfanya mwanadamu kujihisi yuko salama. Faida ya kwanza inamfanya mtu kuwa salama, wanaume wana shida ya macho ya kupenda kila kitu kizuri wanachokiona kwahiyo anahitaji mwanamke ambaye anatmfanyia wivu ili amuweke salama", amesema Madulu.

Pia ameongeza kuwa faida ya pili ya wivu ni kuleta heshima katika mahusiano au ndoa. Kwenye faida za wivu katika mahusiano, bwana Madulu amesema, "wivu ukipitiliza unapelekea mauaji, mtu anaweza kutenda jambo ambalo halikutarajiwa kutokana na akili yake kufunikwa na hisia kubwa. Napenda mfahamu pia lugha 5 za mahusiano ambazo ni maneno matamu, kutumia muda pamoja", ameongeza.

Amemalizia kwa kuzitaja silaha kubwa mbili ambazo endapo mwanamke atazitumia, atadumisha mahusiano au ndoa yake, silaha hizo ni ngozi yake na masikio yake.

Tazama video zaidi hapa chini akizielezea.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava