Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Sio kitu rahisi kuwa na mimi" - Posh Queen

Jumatano , 12th Dec , 2018

Mlimbwende maarufu nchini Tanzania hasa katika mitandao ya kijamii, Jacline Obedi maarufu kama 'Posh Queen', ameweka wazi kuwa ni vigumu kwa wanaume kummiliki, licha ya kuwa na urembo wa kumvutia kila mmoja.

Akizungumza na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Posh ameweka wazi kuwa yeye sio mdangaji kama ilivyo kwa wadada wengi wa mjini, kwani anajihudumia mwenyewe, hivyo ni vigumu kwa mwanaume kumpata kirahisi kwa sababu ya pesa, kwani mwenyewe anajua kutafuta pesa na anajihudumia.

“Sio kitu rahisi kuwa na mimi unatakiwa ujue, sio mtu ambaye nitachukua vitu vyako, au nini, mimi najihudumia, isipokuwa kama mwanaume wangu unatakiwa uwajibike lakini sio kama mimi siwezi kujihudumia, kuanzia miamala, uwe na akili timamu”, amesema Posh.

Pia Posh ambaye ni mhitimu wa Chuo Kikuu katika masuala ya kuthibiti majanga, amesema kwamba anaingiza mkwanja mrefu unaotokana na biashara yake ya mikanda.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava