Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tiba ya Saratani kugunduliwa

Jumapili , 7th Apr , 2019

Kundi la wanasayansi wa Israel, wameahidi kuwa wapo katika mchakato mzito wa kuleta tumaini jipya juu ya kupatikana kwa tiba ya saratani ndani ya mwaka mmoja.

Dkt. Illan Morad ambaye ni Mkurugenzi wa kampuni ya Accelerated Bioevolution Biotechnologies inayoshughulikia masuala ya Biotechnology, anatengeneza kitu kinachoitwa MuTaTo, ambayo licha ya kuwa na jina baya kama ilivyoelezwa, lakini inatarajiwa kuja kurudisha uzima wa watu wengi walioathirika na saratani

MuTaTo ambayo ni muunganiko wa 'peptides' ambazo zimelenga moja kwa moja seli za saratani kwa sumu kali ilizonazo na kuziua.

“Tiba yetu ya saratani itaanza kufanya kazi kuanzia siku ya kwanza, itadumu kwa wiki na haitakuwa na madhara yoyote kwa binadamu, na itakuwa nafuu sana kuliko matibabu ya sasa ambayo yana gharama zaidi”, amesema Dkt. Morad  akiliambia jarida la New York Post.

Dkt. Morad ameendelea kusema kwamba baada ya kutumia mchanganyiko huo walioutengeneza kwa panya mwenye vimelea vya saratani, ilileta matokeo mazuri baada ya kuua vimelea hivyo vya saratani bila kumuathiri panya, na kwamba wale waliowahi kupitia tiba ya mionzi ni kwa jinsi gani wataelewa kuwa hii ni 'big deal'

Takriban watu milioni 18.1 kila mwaka wanagundulika kuwa na saratani duniani, na iwapo MuTaTo itafanya kazi, itakuwa ni habari njema ulimwenguni kote.

 

 

Source: Distractfy

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava