Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufahamu wa wananchi kuhusu kupandikiza mbegu

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Kufuatia taarifa ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kuanza kutoa huduma ya kupandikiza mbegu za uzazi kwa wanawake wenye uhitaji, EATV & EA Radio Digital imeingia kitaani kupiga stori na raia juu ya maoni yao kuhusu suala hilo.

Picha ya David Moses kushoto, kulia ni Mama Saida

"Hilo suala linanichanganya, kwanza wanapandikiza kwa wanawake ambao ni wajane, wasio na wanaume au wanawake wa mtaani maana ni jambo gumu na hao watoto watakaopandikizwa watakuwa hawana baba au itakuaje, hii ishu inanishtua baada ya kuisikia" David Moses 

"Mimi sipo tayari kupandikiza mbegu zangu kwenye suala la uzazi kwa sababu nitazaa mtoto ambaye hana baba wala ndugu kwa upande wa baba yake, nimeziopokea taarifa hizi kwa watu kama wenye shida ya uzazi, hili suala likiendelea ndoa zitakuwa hakuna tena, maana nikitaji mtoto nitaenda Hospitali kupandikiza" Mama Saida 

"Nimepokea kwa uzuri na ubaya kwa sababu kumpandikiza mbegu mwanamke mtoto akizaliwa huwezi jua mtoto atafanana na nani, pendekezo langu mimi nimjue atakayenipandikiza hizo mbegu hiyo itanisaidia kumjua baba wa mtoto hata kama hatuna mahusiano yoyote" Dada Sestiria
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali