Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Unatuamia mbinu zipi kulinda jicho lako?

Alhamisi , 8th Oct , 2020

Wakati dunia ikielekea kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike Oktoba 11 mwaka huu, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kupitia Dawati la Jinsia na Watoto limesema katika siku hii jamii izingatie kukomesha mila na desturi ambazo bado zimekuwa zikiripotiwa.

Picha ya mtu akipima macho

Katika maadhimisho hayo Mratibu Mwandamizi wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Leah Mbunda amesema bado kuna vitendo vingi vya kiunyanyasaji hususani kwa mtoto wa kike na mara nyingi kesi hizo zimekuwa zikitendwa hasa na watu wa karibu zaidi na watoto hawa pasipo kuzingatia athari za baadaye.

 

Kwa upande wao washiriki wamesema ili jamii izidi kuwaamini baadhi ya mabinti waliopata nafasi za uongozi kwenye serikali na taasisi mbalimbali hawana budi kutekeleza majukumu yao kwa weledi zaidi, huku wengine wakishauri kuwepo kwa mafunzo endelevu kwa mtoto wa kike ili kumjengea uwezo pamoja wadau kuachilia fikra za mfumo dume ambao umekuwa ukilalamikiwa kwa muda mrefu.

 

Kauli mbiu ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani ni "Tumwezeshe Mtoto wa Kike; Kujenga Taifa Lenye Usawa"

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava