Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Upangaji usio rasmi wachangia migogoro

Jumatatu , 5th Oct , 2020

Ikiwa leo dunia inaadhimisha siku ya makazi baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamesema serikali haina budi kuchukua hatua kali kwa watu wanaojenga katika maeneo hatarishi huku wengine wakitoa malalamiko yao juu ya uwepo wa kundi kubwa la matapeli katika sekta ya ardhi.

Ramani ya makazi ya watu

EATV hii leo imepita katika mitaa kadhaa ya Jiji la Dar es Salaam na kuzungumza na wananchi hao ambao wameelezea adha wanayokutana nayo ikiwemo madalali ambao wamekuwa wakipangisha nyumba kwa gharama kubwa, hali ambayo imekuwa inaleta usumbufu kwa muda mrefu.

Pamoja na hayo EATV ikalazimika kufika katika chama cha wapangaji Tanzania na kuzungumza na Katibu wake Bw. Ngasongwa Philip, ambaye amesema ili kuepusha migogoro ya ardhi ni muhimu wadau wote kufuata sheria.

"Sasa unakuta mwenye nyumba anataka alipwe kodi ya mwaka mzima wakati hata waajiri hawalipi mishahara ya mwaka mzima hii ni changamoto kubwa sana". amesema Ngasongwa Philip Katibu wa Chama cha wapangaji, Ngasongwa Philip.

Aidha, amesisitiza kuwa mfumo rasmi wa upangishaji unaotumika kwa kuwa  sasa ni holela hasa katika makazi ambayo hayajapangwa ukiacha machache yaliyokidhi vigezo akishauri katika siku hii ni vyema wadau wakatafakari uwepo wa udalali usio rasmi ambao huumiza wananchi kwa muda mrefu.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava