Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachina watoa msaada wa bia

Jumapili , 7th Apr , 2019

Kampuni ya uchimbaji madini ya Ghuanshan International inayomilikiwa na Wachina nchini Kenya, imezua mtafaruku baada ya kupeleka msaada wa bia eneo la Tiaty, ambao wamekumbwa na balaa la njaa.

Kampuni hiyo ambayo iliamua kuunga mkono jitihada za kunusuru jamii zilizokumbwa na uhaba wa chakula kutokana na ukame, kwa kwenda kuwapa msaada wa vyakula mbali mbali zikiwemo na bia, jambo ambalo limeleta mtafaruku mkubwa nchini Kenya.

Wakati msaada huo ukitolewa katika eneo la shule ya Katikit iliyopo Tiaty, wazee na watoto walikuwa wakitazama, huku vijana wakigombania misaada hiyo.

Wachina wakitoa misaada

Mkurugenzi wa kampuni hiyo Khan Ke amesema kwamba waliamua kuweka na bia kwenye vyakula walivyowapelekea, baada ya kugundua kuwa wakazi hao pia wanapenda bia.

Hata hivyo wataalamu wa afya waliingilia kati wakisema kuwa jambo hilo sio sahihi, akiwemo Mkurugenzi wa Afya nchini humo Dkt. Kepha Ombacho, ambaye amesema si sawa kiafya kupeka bia kwatu ambao wana njaa, kwani tumbo lisilo na kitu likikutana na pombe hufanya kazi kwa haraka sana na mwishowe huleta madhara.

Hata hivyo wakazi wa maeneo hayo wameonekana kufurahia misaada hiyo ikiwemo pombe, kwani walionekana wakigombania na wengine kukimbia nazo kwenda kuhifadhi nyumbani.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto