Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walioshinda 'Golden Buzzer' wamshukuru Rais Samia

Jumatano , 19th Oct , 2022

Vijana wawili wanaojiita za The Ramadhan Brothers, ambao video yao ilisambaa mitandaoni wakiwa kwenye mashindano ya Australia got talent, na kubonyezewa Golden Buzzer baada ya kufanya mazuri wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa namna ambavyo imekuwa ikiwatia moyo wasanii.

The Ramadhan Brothers wakiwa kwenye studio za East Africa Radio

Kauli hiyo wameitoa hii leo Oktoba 19, 2022, wakati wakizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio ambapo kwa pamoja wameeleza safari yao ilivyokuwa na jinsi ambavyo milango imefunguka na wamekuwa wakialikwa kwenye mashindano mbalimbali.

"Napenda sana kuwashukuru viongozi wote wa Tanzania akiwemo Rais Samia kwa kututia moyo sisi wasanii, kusema kweli serikali yetu inatia nguvu sana na ina-support sana wasanii, tuna-show moja kubwa sana, tuna nusu fainali na fainali yenyewe nina imani Watanzania watashangaa kuona tunafanya maajabu yale," wamesema The Ramadhan Brothers

Aidha wameongeza kuwa, "Hatua tuliyofika kusema kweli tunamshukuru Mungu ni hatua kubwa sana na kwa sasa hivi tulipofikia ile show ni utambulisho, na pale kulikuwa na wasanii zaidi ya 300 lakini The Ramadhan Brothers tumekuwa wasanii wa kwanza kutunukiwa tuzo ya golden buzzer,".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava