Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakiwa wasiwachinje wanyama wakiwa wamenuna

Jumatano , 11th Dec , 2019

Afisa Nyama kutoka Bodi ya Nyama Tanzania, Edgar Mamboi, amewataka wananchi kufuata taratibu pindi wanapotaka kuwachinja wanyama mbalimbali, ili kujiweka kwenye mazingira salama wakati wa kula kitoweo chochote.

Supu

Mamboi ametoa kauli hiyo leo Desemba 11, 2019, wakati akizungumza kwenye Kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 asubuhi, ambapo amesema kuna idadi kubwa ya watu hawafuati taratibu za kuwatunza wanyama.

"Kuna wakati unaweza ukachemsha nyama ya Ng'ombe haichemki au unakula ni ngumu sana, moja ya sababu kubwa kuna wakati unakuta huyo mnyama alinuna sana wakati unamchinja." amesema Edgar.

Aidha Edgar amesema kuwa "kuna sheria ya wanyama inakataza mifugo kama Ng'ombe wasipigwe sana, pia wapumzishwe wanapotembea umbali mrefu".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto