Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watoto 12 hadi 533 wakumbwa na matukio ya ulawiti

Jumapili , 16th Jun , 2019

Idadi ya matukio ya ulawiti watoto imeongezeka kutoka 12 hadi 533 kutoka mwaka 2017 hadi Juni 2018 kutokana na kupungua kwa nafasi ya wazazi katika kuwalinda watoto.

Ulawiti watoto

Hayo yamebainishwa na wadau kutoka TGNP Mtandao katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika Jijini Dar es Salaam.

TGNP imesema kuwa suala la usalama wa mtoto linatakiwa kuangaliwa kwa ukaribu zaidi kutokana na kuwapo matukio mengi ya ukatili kwa watoto yakiwemo ya ulawiti.

Tarehe 16 Juni ya kila mwaka ni siku ya 'Mtoto wa Afrika', siku maalum ambayo inakumbukwa kutokana na jinsi ambavyo watoto wa shule wa Kiafrika waliuawa kikatili na makaburu eneo la Soweto nchini Afrika Kusini wakipinga unyanyasaji uliokuwa ukiendelea.

Tukio hilo lilitokea mnamo Juni 16, 1976, ambapo inakadiriwa kuwa zaidi ya waandamanaji 20,000 walihusika, huku makadirio yakiwa ni zaidi ya wanafunzi 176 hadi 700 inatajwa kuwa walipoteza maisha.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine