Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

WhatsApp yafikisha watumiaji Bilioni 2

Ijumaa , 14th Feb , 2020

Taarifa mpya ya mtandao wa kijamii wa WhatsApp  zinasema, umefikisha idadi ya watumiaji Bilioni 2 duniani kote ambapo mwishoni mwaka 2017 waliripoti kuwa unawatumiaji Bilioni 1.5 .

Picha ya mtandao wa Whatsapp

Mtandao huo umeongeza jumla ya watumiaji Milioni 500 kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita na ulianza kufanya kazi mwaka 2009, kisha ukanunuliwa na kampuni ya mtandao wa Facebook mwaka 2014 chini ya tajiri  Mark Zuckerberg.

Mtandao huo wa WhatsApp ulinunuliwa kwa Tsh Trilioni 43, na kufanya kuwa mtandao na chombo cha habari kilichonunuliwa kwa bei kubwa zaidi ila mtandao wa Facebook ndiyo unaongoza kuwa na watumiaji wengi zaidi ikiwa na idadi ya watumiaji Bilioni2.5.

Aidha kiongozi wa mtandao huo wa WhatsApp Will Cathcart, amesema wanakamilisha mpango wa kutunza na kuficha siri binafsi za mtumiaji wa mtandao huo

"Katika historia yote ya binadamu watu wanatakiwa wawasiliane kwa njia ya siri na  binafsi kwa kila mtu, hatufikirii kuendelea hivyo katika jamii hii ya kisasa" amesema Cathcart.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90