Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zifahamu flyover kubwa zaidi duniani

Jumatano , 26th Sep , 2018

Uchumi wa nchi yoyote duniani hutegemea masuala mbalimbali lakini moja kati ya masuala hayo ni miundombinu imara na ya kutosha. Kwa mujibu wa taarifa ya World Economic Forum nchi zinazoongoza kwa kuwa na miundombinu bora duniani ni pamoja na Hongkong, Singapore, Uholanzi-

Marekani, Japan na nyinginezo.

Siku za hivi karibuni hapa nchini tumeshuhudia kuanza kutumika kwa barabara za juu maeneo ya Tazara ijulikanayo kwa jina la Mfugale flyover na kupunguza foleni kwa kiasi kikubwa, inadaiwa daraja hilo litaokoa takribani shillingi za Kitanzania bilioni 400 kwa mwezi.

Mradi huo umegharimu shilingi bilioni 95 za Kitanzania ikiwa ni moja ya mipango ya serikali katika kujenga na kuboresha miradi mbalimbali nchini na kuijenga Tanzania ya viwanda. Ikiwa flyover nyingine tayari imeshaanza kujengwa maeneo ya Ubungo

www.eatv.tv leo tunakuletea flyover tano kubwa zaidi duniani kwa mujibu wa World Economic Forum.

5.Spagetti flyover,Uingereza

Hii ipo katika jiji la Birmingham, jina halisi la flyover hii ni Gravely Hill Interchange iliyofunguliwa rasmi May, 24,1972. Jina la flyover hii limetokana na mwandishi wa habari wa gazeti la Birmingham Mail, Roys Smith aliyefananisha muonekano wa daraja hilo na chakula aina ya Tambi. Daraja hilo limechukua takribani miaka 4 kumalizika linatajwa kuwa na gharama ya Paundi milioni 10 sawa na shilingi bilioni 30 za Tanzania.

4.Judge Harry Pregerson, Marekani

Flyover hii ipo Los Angles Marekani,yenye njia tano, lilifunguliwa rasmi 1993, lina futi 130 kutoka ardhini. Daraja hili lililopewa jina kwa aliyekuwa hakimu wa serikali Harry Pregerson,liligharimu dola za kimarekani milioni 135 sawa na shilingi bilioni 324 za Tanzania.

3.Nampu flyover, China.

Hili linapatikana jijini Shanghai,China. linathamani ya dola za kimarekani milioni 259 sawa ni bilioni 621.6 za Tanzania ni flyover yenye njia tatu.

2.Springfield flyover, Marekani

Hili linapatikana Virginia nchini Marekani, takribani magari 430,000 hupita kila siku huku likitajwa kuwa ni daraja linalotumiwa sana kuliko madaraja yote nchini .lilianza kutumika mwaka 1960, lenye thamani ya dola milioni 276 sawa shilingi trilioni 1.6 za Tanzania.

1.Marquette flyover,Marekani

Hili ni la kwanza duniani lilianza kujengwa mwaka 2004 na kuanza kutumika rasmi 2008, lina thamani ya dola za kimarekani milioni 810 sawa na shillingi tilioni 1.9 za Tanzania

Hizi ni baadhi ya flyover zenge gharama kubwa zaidi duniani zinazosadikiwa kuwa na mchango mkubwa katika kujenga uchumi wa nchi zao.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava