Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aveva, Kaburu wazisoma namba

Jumatano , 16th Aug , 2017

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeahirisha kesi ya kutakatisha fedha na kughushi nyaraka inayowakabili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na makamu wake, Geofrey Nyange 'Kaburu' hadi Agosti 30 mwaka huu kutokana na upelelezi kutokamilika.

Kesi hiyo imeahirishwa mbele ya Hakimu Victoria Nongwa baada ya Wakili wa upande wa mashitaka kueleza kuwa kwa vile nyaraka za kughushi maandiko zinahitaji utaalam kuzibaini, hivyo kitengo maalum cha kubaini maandishi kinaendelea kufanya uchunguzi ili kukamilisha upelezi huo ambapo aliomba kesi hiyo isogezwe mbele kwa siku 14 ili kukamilisha uchunguzi.

Hakimu Victoria Nongwa aliutaka upande wa mashtaka kukamilisha haraka upelezi wao ili kesi hiyo ianze kusikilizwa ambapo aliisogeza hadi Agosti 30 ili kuwapa nafasi kukamilisha upelelezi wao huku watuhumiwa wakirudishwa gerezani.

Aveva na Kaburu wanashtakiwa na TAKUKURU wakikabiliwa na tuhuma za kughushi nyaraka za Klabu ya Simba na kutakatisha dola za Marekani 300,000 (zaidi ya Sh milioni 650) na wamekuwa rumande tangu Juni 29, mwaka huku wakiwa na safari za kwenda na kurudi mahakamani kwa kile kinachodaiwa kuwa upelelezi haujakamilika

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine