Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

 Magufuli aibuka na askari wachelewesha abiria

Jumatatu , 10th Dec , 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amesema hafurahishwi na vitendo vya baadhi ya askari kukamata magari ya abiria na mizigo kisha kuyachelewesha kwa muda mrefu.

Rais Magufuli kushoto, pamoja na picha ya askari wa usalama barabarani wakiwa wamesimamisha basi la abiria.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo jijini Dar es salaam, kwenye Kikao cha kazi kati yake na Viongozi wa TRA pamoja na wakuu wa mikoa nchini, ambapo amekemea baadhi ya vitendo vinavyoharibu biashara za watu na kukwamisha ulipaji kodi.

''Askari anaweza kujisikia tu kusimamisha gari hata kwa zaidi ya saa 6 kisha akaliachia bila kujali kuwa hao ni wafanyabiashara na wanajisikia vibaya, kuharibiwa biashara zao wakapata hasara na mwisho wa siku wasilipe kodi. Mara nyingi hili linafanywa na jeshi la polisi'', amesema Rais.

Aidha Rais Magufuli ametoa agizo kwa mamlaka mbalimbali zinazohusika na kodi kuhakikisha zinaondoa vikwazo kwa walipa kodi pamoja na wawekezaji kutoka nje ya nchi.

''Pia nawataka TPA, TRA, Jeshi la polisi, Idara ya uhamiaji mjirekebishe kuna vitendo vingi vya kukwamisha wawekezaji na walipa kodi naomba mlifanyie kazi hilo nafahamu mengi kwahiyo mbadilike'', ameongeza.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava