Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Tulimheshimu Waziri Mkuu”-Manara

Jumanne , 14th Aug , 2018

Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema waliamua kutowafunga Namungo FC ili kuweka heshima kutokana mwaliko wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kwenda nayo suluhu ya 0-0.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na wachezaji wa Simba.

Simba walikuwa na mchezo wa kirafiki siku mbili zilizopita dhidi ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza kwa ajili ya uzinduzi wa Uwanja wa Majaliwa uliopo mjini Ruangwa, Majaliwa aliwaalika Simba ili wakacheze na Namungo kwa ajili ya uzinduzi hivyo Manara ameeleza ilibidi watumie busasara ili wasiweze kuleta aibu kwa Waziri.

"Tuliamua kutowafunga Namungo kwa ajili ya heshima ya Waziri, hauwezi kumwaibisha mtu mkubwa kama yule mwenye heshima zake" amesema.

Katika hatua nyingine klabu hiyo imewasili jana jioni jijini Arusha baada ya kuitikia wito wa Mkuu wa Mkoa huo, Mrisho Gambo ambaye amewaalika Simba kwa ajili ya kucheza na Arusha United ambayo ilikuwa inajuliakana kama JKT Oljoro iliyopo Ligi Daraja la Kwanza.

Kikosi cha Simba kitautumia mchezo huo kama maandalizi kuelekea mechi dhidi ya Ngao ya Hisani dhidi ya Mtibwa Sugar itakayopigwa Agosti 18 kwenye Uwanja wa CCm Kirumba, Mwanza.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu