Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

ABC yatinga fainali RBA, kuingoja Savio au JKT

Ijumaa , 17th Sep , 2021

Timu ya ABC inayoshiriki ligi ya kikapu jijini Dar es salaam kwa upande wa wanaume, imefanikwa kutinga hatua ya Fainali ya RBA baada ya kuifunga Ukonga Kings kwenye mchezo wa tatu kwa pointi 60-56.

Mcheza kikapu wa timu ya JKT akijaribu kuurusha mpira ili afunge na kuikusanyia alama timu yake kwenye Ligi ya kikapu ya mkoa wa Dar es Salaam 'RBA' kwa msimu wa mwaka 2021.

Ushindi wa 88-78 kwenye mchezo wa kwanza pamoja na 87-85 kwenye mchezo wa pili ilitosha kuwasogeza ABC karibu, kuelekea kunyakua ufalme wa kikapu Dar es salaam.

Vile vile kutakuwa na mchezo wa kusaka nani ataungana na ABC katika fainali hiyo ambapo JKT watachuana vikali na Savio Basketball club.

Ikumbukwe kuwa mchezaji wa Zamani wa NBA, Hasheem Thabeet anayecheza katika timu ya Savio atakuwa na kibarua kizito kuhakikisha anaisaidia timu yake kutinga fainali kwakuwa mpaka sasa wapo sare ya 1-1 na wapinzani wao kati ile michezo 5.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto