Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

African Lyon yatambulisha wafaransa kikosini

Alhamisi , 9th Aug , 2018

Klabu ya African Lyon imetambulisha rasmi kocha mpya na mchezaji wa kigeni katika mazoezi ya kwanza ya timu hiyo yaliyofanyika leo katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Kocha (kulia) pamoja na mchezaji (Kushoto) kwenye utambulisho katika uwanja wa Uhuru

Kocha aliyetambulishwa ni, Soccoia Lionel raia wa Ufaransa pamoja na mchezaji alieambatana naye, Victor Da Costa ambapo wote kwa pamoja wamesaini mkataba wa miaka miwili kila mmoja kuitumikia klabu hiyo.

Akizungumzia utambulisho huo, meneja wa klabu hiyo, Adam Kipatacho amesema kuwa African Lyon ni moja ya klabu zilizofanya usajili mzuri kwa klabu za ligi kuu msimu huu japokuwa haizungumziwi miongoni mwa wadau wa soka.

Naye kocha mpya wa timu hiyo amesema kuwa amejipanga vizuri kuhakikisha African Lyon inafanya vizuri katika ligi kuu msimu huu.

Soccoia amefundisha vilabu kadhaa barani Afrika vikiwemo, CIFAS ya Benin na Cotton Sports ya Cameroon.

African Lyon imepanda daraja msimu huu na inatarajia kucheza mechi yake ya ufunguzi wa ligi, Agosti 23, dhidi ya Stand United katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga.

 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji