Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AL Hilal kutua Dar kesho kwa mwaliko wa Simba

Jumanne , 24th Jan , 2023

Mabingwa wa soka nchini Sudan, Al Hilal watatua jijini Dar es Salaam kesho saa sita mchana kwa mwaliko maalumu kutoka kwetu kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.

Wakiwa jijini Dar es Salaam, Al Hilal watacheza mechi tatu za za kirafiki dhidi ya Namungo, Azam FC na sisi wenyeji Simba.

Maandalizi yao yote kuanzia kesho watakapowasili nchini yatakuwa juu yetu ikiwemo mahali watakapofikia, uwanja wa mazoezi na vingine vyote mpaka siku watakayoondoka nchini Februari 6, mwaka huu.

Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu amesema tuliingia mkataba wa ushirikiano wa Al Hilal na moja ya makubaliamo ni kutembeleana na kufanya mashindano ili kuimarisha vikosi vyetu.

“Mtakumbuka mwaka 2021 tuliwaalika Al Hilal kwenye Muichuano ya Simba Super Cup na mwaka jana wao waliandaa nasi tukashiriki, kwa hiyo ushirikano wetu unaendelea vizuri,” amesema Mangungu.

Kwa upande wake, Meneja Mahusiano wa Al Hilal, Elfadhili Hussein ameushukuru uongozi wa klabu kwa kuendeleza ushirikiano na wanaamini watapata mazoezi mazuri kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Mamelodi.

“Baada ya kupata ratiba hii tuliwasiliana na Simba ili tuje tuweke kambi Tanzania, tuwashukuru Simba ikakukabli na kuandaa kila kitu. Tunaamini tutapata maandalizi mazuri,” amesema Elfadhili.

Ratiba ya mechi za Al Hilal

Januari 26, Namungo vs Al Hilal (Azam Complex)

Januari 31, Azam vs Al Hilal (Azam Complex)

February 5, Simba vs Al Hilal (Benjamin Mkapa)

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto