Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alfa Romeo wavutiwa na nidhamu ya Zhou Guanyu

Jumanne , 27th Sep , 2022

Boss wa timu ya Alfa Romeo ya mchezo wa Langa langa (Formula 1) Frederic Vasseur amethibitisha kuwa dereva wao Zhou Guanyu raia wa China atasalia kwenye timu hiyo msimu ujao wa 2023.

Zhou Guanyu raia wa China ana umri wa miaka 23, msimu wa 2022 ni msimu wake wa kwanza kwenye Formula 1

Frederic Vasseur amesema wamevutiwa na uwezo na nidhamu ya kazi aliyoionyesha dereva huyo kinda mwenye umri wa miaka 23 na ndio sababu ya kumuongezea mkataba na kuendela kufanya nae kazi msimu ujao.

"Jinsi alivyozoea Formula 1 kwa muda mfupi imekuwa moja ya maajabu bora ya msimu wetu. Ni mtu mzuri sana, kila mtu katika timu anapenda utu na mienendo yake. Amekuwa na unyenyekevu wa kuuliza maswali na kujifunza, na akili ya kutumia taarifa zote anazopata kuboresha mbio baada ya mbio. " uzoefu huu atautumia msimu ujao, na nina uhakika atapiga hatua nyingine mbele tunapoendelea kukuza timu yetu." Amesema Frederic Vasseur

Huu ni msimu wa kwanza kwa Zhou Guanyu kwenye Formula 1 na amekusanya alama 6 yupo nafasi ya 17 kwenye msimamo wa madereva kwenye mbio 16 zilizofanyika mpaka sasa msimu huu, zikiwa zimesalia mbio 6 kabla ya msimu kumalizika huku dereva mwenzake mkongwe Valtteri Bottas amekusanya alama 46 yupo nafasi ya 10.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava