Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichokifanya Tulia Ackson kuelekea 'Yes We Can'

Ijumaa , 11th Jan , 2019

Baada ya taarifa ya klabu ya Simba iliyotolewa jana ikieleza kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya JS Saoura ni Naibu Spika Tulia Ackson, naye ameitikia na kuwataka Watanzania wafike uwanjani kwa wingi.

Naibu Spika Tulia Ackson

Tulia amesema kwa kuwa Simba ni wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa ni lazima kuwaunga mkono ili wafanye vizuri na kulitoa kimasomaso taifa.

''Watanzania tukutane uwanja wa Taifa siku ya Jumamosi, kuwapa hamasa wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya Klabu Bingwa Africa Simba SC Tanzania, nguvu yetu mashabiki ndio ushindi wa timu yetu'', amesema.

Tayari wapinzani hao wa Simba wametua nchini kutoka Algeria usiku wa jana, na leo watafanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa Taifa ili kujiweka sawa na mchezo huo.

Simba ipo kundi D na timu za Al Ahly ya Misri, JS Saoura ya Algeria na AS Vita Club ya DR Congo. Vita Club kesho itakuwa ugenini Misri kucheza na Al Ahly.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava