Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam yapewa ubingwa Kombe la Mapinduzi 2017

Jumatatu , 9th Jan , 2017

Wakati michuano ya Kombe la Mapinduzi ikiingia katika hatua ya nusu fainali huku bingwa mtetezi timu ya URA ya Uganda wakifungashwa virago, tayari timu ya Azam imetabiriwa kuchukua ubingwa wa michuano hiyo kwa mwaka huu.

Kikosi cha Azam FC

Mtu wa kwanza kufanya hivyo ni nahodha wa URA, Jimmy Kulaba, ambaye amesema kuwa baada ya wao kutupwa nje, timu pekee yenye uwezo wa kunyakua kombe hilo mwaka huu ni Azam FC ya Dar es Salaam.

Jimmy alitoa utabiri wake jana usiku mara baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Taifa Jang'ombe ambao ulimalizika kwa URA kufungwa bao 1-0, na kuvuliwa rasmi ubingwa wa micuano hiyo.

Jimmy amesema kwa jinsi alivyokiona kikosi cha Azam kilichoshinda mabao 4-0 dhidi ya Yanga, anaona hakitakuwa na mpinzani katika timu zote nne zilizotinga nusu fainali.

Jimmy Kulaba

"Azam wa kikosi kizuri, wachezaji wake ni wazoefu, wanajitambua na wako serious na kazi, natamani kuona Azam wanakuwa mabingwa wa Mapinduzi"

Azam wanakutana na Taifa Jang'ombe katika moto wa nusu fainali ya kwanza utakaopigwa kesho Jumanne saa 10 jioni, wakati mchezo wa pili wa nusu fainali utazikutanisha Simba na Yanga saa 2 usiku.

Je, utabiri huu utatimia, tusubiri

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava