Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azizi Ki, Diarra kuwavaa Mbeya City kesho

Ijumaa , 25th Nov , 2022

kikosi cha Yanga jumamosi ya Novemba 25 ,2022 kinashuka dimbani kuvaana na Mbeya City katika uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mchezo wa ligi kuu Soka Tanzania bara utaochezwa majira ya saa 12:15 jioni.

Kuelekea katika mchezo huo kocha msaidizi wa Yanga SC Cedric Kaze ameongea na waandishi wa habari namna ambavyo amejiandaa

“Tumejiandaa vizuri kwa sababu tunajua Mbeya City mechi zao za karibuni wamefanya vizuri. Mechi yao ya mwisho katika uwanja wa Benjamini Mkapa uliopita tulitoka sare na walitupa changamoto ambayo tumejiandaa kuikabili tena”

“Kila mchezo kwetu ni muhimu, hatuna mchezo ambao tunaudharau ili tusipoteze malengo yetu. Ukifanya mzaha kwenye maandalizi lazima utaumbuka. Tunaheshimu timu zote za ligi kuu. Tunafahamu kila timu inatamani kutufunga hivyo tumejipanga vyema kuzuia hilo kutokea”

kwa upande mwingine kocha Kaze amesema kuwa  wachezaji walikosekana mchezo uliopita, wamerejea huku Baadhi ni kama  Aziz Ki, Djigui Diarra, kutoka kwenye majukumu ya timu za taifa. Yannick Bangala nae amerejea baada ya adhabu yake kuisha lakini tutamkosa Feisal Salum kutokana na kadi tatu za njano
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava