Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Balaa la majeruhi Yanga

Jumamosi , 12th Aug , 2017

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Godfrey Mwashiuya ataukosa mchezo wa pili mfululizo katika mechi za kirafiki ikiwa leo Yanga itashuka dimbani dhidi ya Ruvu Shooting kwa ajili ya maandalizi ya msimu huu kufuatia jeraha linalomsumbua.

 

Mwashiuya kupitia katika ukurasa wake wa instagram amewaomba mashabiki wake na wadau wa soka kumuombea ili apone na kuweza kujiunga na kikosi chake kwenda kupambana ili kufanya vizuri katika msimu mpya wa ligi unaotarajiwa kuanza siku za hizi karibuni. 

"Naombeni maombi yenu jamani,  nasumbuliwa na mguu" - alisema kiungo huyo.

Aidha klabu ya Yanga itashuka dimbani dhidi ya Ruvu Shooting leo ikiwa ni mechi ya pili ya kirafiki katika uwanja wa Azam Complex, Chamanzi saa kumi Jioni. Yanga baada ya kumaliza mchezo wa leo kesho watakipiga tena na klabu ya Mlandege FC Zanzibar na baada ya hapo watakwenda visiwani Pemba kuweka kambi ya wiki nzima kujianda na mchezo wa ngao ya jamii utaokaofanyika Agosti 23 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava