Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Barcelona wapendekeza tarehe mpya ya El Clasco

Ijumaa , 18th Oct , 2019

Baada ya Shirikisho la soka Hispania (RFEF), kuvitaka vilabu vya Barcelona na Real Madrid vipendekeze tarehe mpya ya ElClasco, Barcelona ambao ndio wanatakiwa kuwa wenyeji wa mchezo huo wamependekeza uchezwe Desemba 18, 2019 Camp Nou.

Uwanja wa Camp Nou

Taarifa iliyotolewa na Barcelona muda mfupi baada ya maamuzi ya Bodi ya La Liga (LFP) kuhusu mabadiliko ya kusogeza mbele mchezo huo kutoka Oktoba 26, kama ilivyokuwa imepangwa awali.

'Sisi hatukutaka mchezo huo upelekwa Santiago Bernabeu kama ambavyo LFP na RFEF walipendekeza, hivyo umerudishwa Camp Nou na tunapendekeza Desemba 18, 2019', imeeleza taarifa ya Barcelona.

Katika upande mwingine Barcelona wameweka wazi kuwa wao walikuwa na imani na mashabiki wao hata kama mchezo ungebaki Oktoba 26, ungechezwa kwa amani na hawana tabia ya fujo zaidi tu ya kufurahia.

Pia wameeleza kuwa kwasasa wanafanya taratibu za mwisho kuhakikisha wanaanza kurejeshga fedha za mashabiki ambao tayari walikuwa wameshakata tiketi kuhudhuria mchezo huo wa La Liga.

Hivi karibuni viongozi 9 wa siasa wa Catalunya wamehukumiwa jela miaka 9 mpaka 13 kwa kukutwa na hatia ya uchochezi waliofanya mwaka 2017 katika azimio la kudai uhuru wa jimbo la Catalunya.

Baada ya hukumu hiyo, wananchi wa jimbo hilo wamekuwa wakifanya maandamano kupinga hukumu hizo.

Maandamano mengine yamepangwa kufanyika siku hiyo ya Oktoba 26, na hivyo kupelekea shirikisho la soka la Hispania (RFEF) leo kutangaza kuahirisha mechi hiyo ya El Clasico.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava