Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Simmons awapasua kichwa Philadelphia 76ers NBA

Ijumaa , 22nd Oct , 2021

Rais wa Philadelphia 76ers, Daryl Morey amesema kuwa mchezaji wao aliyegoma kucheza kwenye viunga vya Pennyslavania, raia wa Australia, Ben Simmons bado anahitajika kwenye kikosi chao licha ya mashabiki na baadhi ya wachezaji wenzake kuchoshwa na vibweka vyake.

(Nyota wa Philadelphia 76ers, Ben Simmons akiruka juu na kutupia mpira kwenye kikapu)

Kwa muda mrefu Morey ameelezea matakwa na matamanio kama kiongozi wa 76ers, kuwa ni kuunganisha timu kwa kumbakisha Simmons na watamuuza iwapo watapata timu iliyotayari kubadilishana nao kwa mchezaji mwenye uwezo unaowiana.

“Kwa sasa sote tunabidi tuungane, Kazi yangu kama Rais ni kuhakikisha naongoza jumuiya hii kushinda taji la NBA  msimu huu kwakuwa tunatimu nzuri, Simmons ni mchezaji anayeongeza kitu kikubwa kiwanjani kutokana na uwezo wake mkubwa”

“Iwapo tukiweza kumbakisha basi tutakuwa katika nafasi nzuri ya kunyakuwa ubingwa na iwapo itajitokeza timu kuhitaji huduma ya Simmons tutahakikisha kuwa ni kwa faida za pande zote mbili”

Simmons aliripoti katika kituo cha mazoezi cha timu hiyo siku ya  Alhamisi, Oktoba kwa mazoezi ya kibinafsi ambayo hakushiriki kwa sababu ya maumivu ya mgongoni  mwake. Simmons aliripotiwa kupata matibabu kutoka kwa wafanyikazi wa matibabu wa Sixers, ambayo pia ilimruhusu kuanza kufanya mazoezi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava