Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Brazil yaipiga Haiti Kijerumani yaidondoshea wiki.

Alhamisi , 9th Jun , 2016

Unaweza kusema ni kama kisasi wakikumbuka kipigo cha aibu walichokipata wao cha mabao 7-1 toka kwa Wajerumani katika michano ya kombe la dunia mwaka 2014 Brazil nao wametoa kichapo kama hicho kwa Haiti alfajili ya leo huko nchini Marekani.

Philippe Coutinho akishangilia moja ya mabao yake matatu wakati Brazil ikiibuka na ushindi wa 7-1 dhidi ya Haiti

Kiungo wa klabu ya Liverpool ya England, Philippe Coutinho alfajili ya leo alikuwa mwiba mkali kwa walinzi wa timu ya Haiti baada yakufanikiwa kuiwezesha timu yake ya taifa ya Brazil kuibuka na ushindi mnono na wakihistoria akiifungia timu hiyo mabao matatu kati ya 7 wakati timu hiyo ikishinda kwa 7-1.

Pamoja na mabao hayo mazuri ya Coutinho [hat trick] mbele ya Haiti kwenye mchezo wa mashindano maalumu ya Copa America kuazimisha miaka 100 ya michuano hiyo, Brazil ilicheza soka safi na ilipania kuibuka na ushindi tangu dakika za mwanzo za mchezo huo uliofanyika katika uwanja wa Camping World mjini Orlando, Marekani.

Mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Renato Augusto aliyefunga mabao mawili, Gabriel Barbosa na Lucas Lima, wakati la Haiti bao lao limefungwa na James Marcelin.

Ushindi huo mujarabu kwa Wabrazil ni kama kufuta machungu ama kujifariji na kipigo cha bao 7-1 walichokipata wao tena katika ardhi ya nyumbani kwao mbele ya Wajerumani mnamo mwaka 2014 katika mchezo wa nusu fainali ya michuano ya kombe la dunia.

Na sasa matokeo hayo yanaiacha Brazil inayonolewa na kiungo bora mkabaji wa zamani wa timu hiyo Carlos Dunga wakiwa mbele kwa alama nne zaidi kuelekea mchezo wa mwisho wa hatua ya akundi dhidi ya Peru.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu