Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CAF yatoa maamuzi mapya kwa Simba, Yanga, Azam,KMC

Jumatano , 17th Jul , 2019

Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF, limetoa mwongozo mpya kuelekea michuano ya Klabu Bingwa Afrika CAFCL msimu ujao.

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya vilabu Afrika

CAF imesema kuwa katika michezo ya fainali ya Klabu Bingwa Afrika CAFCL na Kombe la Shirikisho CAFCC, utapigwa mchezo mmoja pekee badala ya michezo miwili.

Pia mchezo huo mmoja utapigwa katika katika uwanja huru hauna uhusiano na timu yoyote kati ya zilizoingia fainali.

Mabadiliko hayo yamekuja kufuatia kuzuka kwa sintofahamu katika mchezo wa pili wa fainali ya Klabu Bingwa Afrika msimu uliopita kati ya Wydad Casablanca na Esperance de Tunis, ambao haukumalizika kwa utaratibu licha ya Wydad kutangazwa mshindi na kukabidhiwa kombe na baadaye kupokonywa.

Mwongozo huo mpya utazigusa timu wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kimataifa, Simba SC na Yanga zitakazoshiriki Klabu Bingwa Afrika, pamoja na Azam FC na KMC ambazo zitashiriki Kombe la Shirikisho endapo zitaweza kufika hatua ya fainali.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava