Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Carrick: Acheni kumdhihaki Ronaldo

Alhamisi , 2nd Dec , 2021

Kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuacha kumdhihaki Ronaldo kwamba hataweza kucheza kwenye mfumo mpya wa mwalimu wa mpito wa United Ralf Rangnick.

(CR7 akiwa anapokea maelekezo kutoka kwa kocha wake Michael Carrick)

Rangnick, Raia wa Ujerumani anasifika kwa kutumia mfumo wa uchezaji maarufu kama 'gegenpressing' ambao hulazimisha wachezaji wanapopoteza mpira kukaba kwa nguvu na haraka kupokonya mpira kwa wapinzani na kushambulia kwa haraka kitu ambacho mashabiki wengi wanaona  Ronaldo 36, hataweza kuingia  kwenye mfumo huo kutokana na kasi na umri wake kumtupa mkono.

"labda ni hadithi tu kwamba Ronaldo haweza kucheza mfumo huo, amecheza  kwa muda mrefu kwenye timu nyingi  na amefanikiwa kucheza kwenye mifumo tofauti tena kwa mafanikio makubwa ”  Amesema Carrick.

Kwenye mchezo dhidi ya Chelsea Michael Carrick alimuweka benchi Ronaldo ambaye ndiye kinara wa magoli ndani ya United akifunga magoli 10 katika michezo 15 ya mashindano yote waliyocheza mpaka  sasa.

Manchester United saa 5:15 usiku leo watakuwa Old Trafford kuwakabili Arsenal ambapo Cristiano Ronaldo ana rekodi ya kufunga magoli sita kati ya michezo 15 aliyokutana na washika bunduki wa Emirates, Arsenal.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava