Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chama amuomba msamaha Feisal Toto

Jumanne , 10th Mar , 2020

Mchezaji wa klabu ya Simba Clatous Chama,  amemuomba msamaha mchezaji wa klabu ya Yanga Feisal Salum maarufu Fei Toto, kufuatia kitendo cha kumkanyaga kwa makusudi mguuni wakati  wa pambano lao likiendelea siku ya Machi 8,2020.

Kushoto mchezaji wa Simba Chama, kulia Fei Toto wa Yanga

Chama amemtaka radhi Fei Toto kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, ambapo ameeleza tayari ameshaongea na Feisal kumuomba msamaha na amekubaliwa ombi lake kwa sababu mpira ni burudani sio uadui.

"Wapendwa mashabiki wa mpira wa miguu, napenda kuwashukuru wote kwa mchezo wa dabi yetu, naumia tumepoteza mchezo lakini kilichotokea kati yangu na Feisal ilikuwa ni kutafuta matokeo uwanjani, nimeshaongea naye na amenikubalia ombi la msamaha, naahidi kuwa balozi mzuri wa mchezo ndani ya uwanja, ahsanteni sana"  ameandika Clatous Chama.  

Mchezo huo wa watani wa jadi ulimalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Simba, kwa goli ambalo lilifungwa na Benard Morisson katika dakika ya 44 kipindi cha kwanza.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto