Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chama cha judo wapatiwa ofisi na Serikali Dsm

Alhamisi , 1st Dec , 2022

Serikali imepongeza Chama cha Mchezo wa Judo nchini kwa utendaji bora ambao ndani ya muda mfupi kimefanya mabadiliko makubwa ya utendaji ambapo imeahidi mchezo huo kupatiwa vyumba vya kuchezea katika viwanja vya michezo nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu Said Yakub wakati akizungumza ofisini kwake Mtumba Dodoma na Rais wa Mchezo wa Judo Nchini ndugu Zaidi Hamisi.

“Mmeainisha mambo mengi ya muda mfupi na ya muda mrefu, jambo la msingi chama cha Judo lazima kiwe taasisi kamili, yenye mipango ya muda mrefu, muwe na mpango mkakati wa miaka mitano, muwe na kituo cha mafunzo, hapo litakuwa eneo ambalo mafunzo ya mchezo huo yatafanyika" amesema Said Yakubu.

Naibu Katibu Mkuu Yakubu amesema, Serikali itaratibu ufundishaji wa Judo shuleni kwa ushirikiano na wizara zinazosimamia shule, huku akimshukuru Rais wa Shirikisho la Judo Ulimwenguni Ndugu Marlus Vizer kwa kutoa msaada wake kwa michezo huo na kusema wamemualika aje Tanzania kukutana na viongozi wa mchezo huo nchini.

Kwa upande wake Rais wa Mchezo wa huo, Ndugu Hamisi amepokea pongezi hizo na kusema kuwa, Tanzania itapokea jozi 50 ya nguo za mchezo wa judo katika mashindano ya kimataifa, jozi 100 za nguo za mafunzo ya mchezo huo na pia jozi 200 za nguo za mazoezi kwa ajili ya wanafunzi na pia Tanzania itapata nafasi ya kusomeshewa walimu wa mchezo huo kwa ngazi ya shahada.

Judo ni mchezo wenye asili ya Japan huku ukichezwa sana katika mataifa ya Bara Ulaya ikiwamo Ufaransa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava