Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto za Ajibu ndani ya TP Mazembe

Alhamisi , 23rd Mei , 2019

Klabu ya soka ya TP Mazembe ya DR Congo, iko mbioni kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu ambaye mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu.

Ibrahim Ajibu

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TP Mazembe hivi karibuni, imeonesha kuwa timu hiyo inavutiwa na huduma ya Ajibu ambaye pia amewahi kuchezea Simba.

Endapo Ajibu ataungana na klabu hiyo iliyopo chini ya kocha Pamphile Mihayo Kazembe, anaweza kutumika katika maeneo mawili kama mshambuliaji au kiungo mshambuliaji anayecheza nyuma ya washambuliaji.

Endapo atatumika kama mshambuliaji atakutana na changamoto ya washambuliaji wawili wanaoaminiwa kwasasa na kocha Mihayo ambao ni Tresor Mputu na Jackson Muleka.

Kama kocha Mihayo ataamua kumtumia Ajibu kwenye eneo la kiungo mshambuliaji, basi mkali huyo wa pasi za mwisho atakabiliana na changamoto ya viungo kama Elia Meschak, Rainford Kalaba na Abdoulaye Sissoko ambao ndio huwazunguka washambuliaji Tresor Mputu na Jackson Muleka.

TP Mazembe tangu mwaka 2010 imeshafanikiwa kuchukua wachezaji watatu kutoka Ligi kuu soka Tanzania bara ambao ni Thomas Ulimwengu, Mbwana Samatta na Patrick Ochieng. 
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava