Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Cheka atamba kumpiga Bedeman kutoka Afrika Kusini

Alhamisi , 27th Oct , 2016

Bondia Mtanzania Cosmas Cheka amesema, licha ya kupewa mpambano muda ukiwa umeenda lakini anaamini atapambana hapo kesho mpaka amuangushe mpinzani wake Jason Bedeman kutoka Afrika Kusini.

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi (Katikati) na Cosmas Cheka (kulia)

 

Cosmas Cheka ambaye anawania mkanda wa Bantam Weight uzito wa kilo 59 mpaka 61 wa raundi 10 amesema, amejipanga vizuri na yeye kama bondia muda wote ni wa mazoezi na anaamini atampiga mpinzani wake katika mpambano huo.

Kwa upande wake Meneja wa Cheka Juma Ndambile amesema, anaamini bondia wake atapambana kwa ajili ya ushindi kwani amemuandaa vizuri kwa ajili ya kuweza kuweka heshima ya ngumi katika ramani ya Tanzania.

Mbali ya mpambano huo lakini mpambano mwingine mkubwa hapo kesho utamkutanisha bondia Mtanzania Dullah Mbabe dhidi ya Chengbo Zheng kutoka Taifa la China ambao watapambana kuwania uzito wa Light-Heavyweight huku kukiwa na mapambano mengine matano ya utangulizi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali