Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chelsea yamfuta kazi Frank Lampard

Jumatatu , 25th Jan , 2021

Klabu ya Chelsea imemfuta kazi aliyekuwa kocha wake Frank Lampard kufuatia matokeo mabaya klabuni hapo hususani kwenye EPL kwa kupoteza michezo mitano, sare mbili na kupata ushindi kwenye michezo miwili pekee katika michezo kumi ya mwisho.

Aliyekuwa kocha wa Chelsea, Frank Lampard.

Uamuzi wa kumtimua kazi Lampard ambaye amedumu kwa miezi 18 umethibitishwa na mmiliki wa klabu hiyo Roman Abramovic ambaye amesema haukuwa uamuzi mrahisi kuufikia kutokana na urafiki wa karibu pamoja na heshima ya Lampard klabuni hapo.

Lampard alitangazwa kuifundisha Chelsea 4 Julai 2019 na kusaini kandarasi ya miaka 3 na kuwa kocha muingereza wa kwanza kuifundisha Chelsea baada ya takribani miaka 20 na kufanikiwa kumaliza kwenye nafasi 4 za juu pamoja na kucheza fainali ya FA.

Mbadala anayetajwa kuchukua mikoba ya Frank Lampard ni kocha Thomas Tuchel aliyekuwa kocha wa klabu ya PSG na kuwaongoza matajiri hao wa jiji la Paris kutwaa mataji mawili ya ligi kuu nchini Ufaransa na kucheza fainali ya klabu bingwa ulaya.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto