Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chelsea yatinga fainali, Spurs hoi Carabao Cup

Alhamisi , 13th Jan , 2022

Matajiri wa Jiji la London, Klabu ya Chelsea imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Carabao msimu wa mwaka 2021-22 baada ya kuifunga Tottenham Hotspurs 1-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa mkondo wapili wa Nusu Fainali.

(Rudiger akifunga bao kwa kichwa na kuipa Chelsea ushindi wa 1-0 )

Bao pekee la ushindi wa Chelsea limefungwa na beki wake kitasa, Antonio Rudiger na kufanya Chelsea ishinde kwa magoli 3-0 katika michezo miwili ya Nusu fainali hiyo baada ya ushindi wa mabao 2-0 kwenye Nusu fainali ya kwanza

Kutinga huko fainali, Chelsea wameweka rekodi ya kibabe ya kitinga fainali tatu katika muda wa mwaka mmoja atokea kocha Thomas Tuchel ajiunge nayo Januari 2021.

Fainali ambazo Chelsea wametinga chini ya Tuchel ni ile ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya ambaye walikuwa Mabingwa mbele ya Manchester City, Kombe la FA waliopoteza kwa Leicester City na sasa Kombe la Carabao.

Ushindi huo pia ni Matumaini mapya kwa Chelsea ambao hawajatinga fainali ya kombe hilo kwa miaka mitatu iliyopita huku wakiwa hawajabeba ubingwa huo kwa miaka saba iliyopita.

Chelsea atacheza fainali dhidi ya mshindi kati ya Arsenal na Liverpool ambao mchezo wao utachezwa saa4:00 usiku wa leo kabla ya kurudiana Januari 20, 2022 na Fainali kutaraji kuchezwa Februari 27, 2022.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava