Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Costal Union yaainisha mipango yake msimu huu

Jumatatu , 13th Aug , 2018

Uongozi wa Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ umesema kuwa malengo yao msimu huu katika Ligi Kuu Bara ni kushinda kila mechi watakayoteremka uwanjani iwe nyumbani au ugenini na hakuna wa kuwazuia kwani wana wachezaji wenye uwezo wa kufanya hivyo.

Mshambuliaji wa Coastal Union, Ali Kiba.

Coastal ambao hivi karibuni wamemsajili mwanamuziki Alikiba, kwa sasa wanaendelea na mazoezi kwenye Uwanja wa Saruji yanayosimamiwa na makocha, Juma Mgunda, Joseph Lazaro pamoja Salim Waziri (Tupa).

Akizungumza na wanahabari, makamu mwenyeketi wa kamati ya usajili, Abdallah Mohamed amesema usajili waliofanya kwa wachezaji wazoefu na chipukizi ndiyo sababu kubwa ya kuamini watafanya vizuri msimu huu.

Malengo yetu kwanza ni kuhakikisha tunashinda michezo hii mitatu ya nyumbani dhidi ya Lipuli FC, Biashara United na KMC baada ya kuzipata hizo ndiyo itatuongezea hamasa ya kwenda kufanya vizuri katika mechi za ugenini zinazofuata,” amesema Abdallah.

Kocha wa timu hiyo, Juma Mgunda amesema wachezaji wote wapo fiti na wanaendelea na mazoezi vizuri, wapo tayari kwa mapambano yoyote na kusisitiza kuwa muhimu ni wadau wa michezo mkoani humo kuendelea kuwaunga mkono.

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto