Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Covid-19 yaipa hasara ya bilioni 211 Man United

Jumatano , 21st Oct , 2020

Klabu ya Manchester United imetangaza kupata hasara ya pauni milion 70 zaidi ya bilion 211 za kitanzania, katika mapato yake ya mwaka ikiwa ni sehemu ya athari za Covid-19.

Man United imetangaza kupata hasara ya bilioni 211 ikiwa ni athari za Covid-19

Mapato ya Manchester United yameshuka kwa asilimia 20 ukilinganisha na mwaka wa fedha uliopita.

Mapato ya Man United kwa mwaka wa fedha wa 2019-20 ambao ukomo wake ulikuwa mwezi Juni 2020, umekuwa ni mwaka ambao wamekusanya kiwango cha chini cha mapato tangu mwaka wa fedha wa 2014-15 ambao walikusanya pauni milion 395.2 zaidi ya Trilioni 1 kwa fedha za kitanzania.

Mapato kwa ujumla ya Manchester united kwa mwaka wa fedha wa 2029-20 ni pauni million 509, zaidi ya Trilioni 1.5 kwa pesa za kitanzania, ikiwa ni mporomoko wa asilimia 18 ukilinganisha na msimu uliopita ambapo walikusanya pauni million 627.1 sawa na Trilioni 1.9.

katika mchanganuo huo unaonyesha pesa za haki za matangazo ya televisheni imeshuka kwa asilimia 41.9, kutoshiriki michuano ya ligi ya mabingwa msimu uliopita ni moja ya sababu mapato ya televisheni kushuka.

Lakini pia mapato yaliyokuwa yanapatikana siku za michezo yamepungua kwa asilimia 19  kutokana na michezo kuchezwa pasipo na uwepo wa mashabiki toka mwezi Machi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava