Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Daktari wa Yanga amalizana na Kamusoko

Jumatano , 14th Feb , 2018

Baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu akiwa majeruhi hatimaye kiungo wa Yanga Thabaani Kamusoko amerejea na anatarajiwa kucheza kweney mchezo wa ligi kuu leo dhdi ya Majimaji FC kwenye uwanja wa Uhuru.

Afisa habari wa Yanga, Dismas Ten amesema kuwa daktari wa timu hiyo Dr. Bavu ametoa ruhusa ya Kamusoko kutumika hivyo ni jukumu la benchi la ufundi kuamua kumchezesha kama atakuwa amefanya vizuri kwenye mazoezi.

Aidha kwa upande mwingine Dismass amesema timu hiyo itaendelea kuwakosa nyota wake wanne ambao ni Abdallah Shaibu, Donald Ngoma, Yohana Mkomola na Amisi Tambwe kutokana na kuendelea kuuguza majeraha.

Mchezo wa raundi ya kwanza kati ya Majimaji na Yanga SC uliopigwa mjini Songea, ulimalizika kwa sare ya 1-1 na leo timu zinakutana katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu.

Yanga kwasasa ina alama 34 katika michezo 17 ikiwa katika nafasi ya pili huku Majimaji ikiwa na alama 14 katika nafasi 14.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava