Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dkt. Mwakyembe apigilia msumari sakata la waamuzi

Alhamisi , 6th Feb , 2020

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa siku tatu kwa Baraza la Michezo nchini BMT kufuatilia kwa ukaribu malalamiko yote ya wadau wa soka katika ligi kuu na ligi zingine.

Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe

Waziri Mwakyembe amefikia hatua hiyo baada ya kupokea malalamiko mengi kutoka kwa wadau wa soka kutokana na kile kinachoendelea katika Ligi Kuu Tanzania bara na Ligi Daraja la Kwanza bila ya majibu yoyote kutoka kwa wahusika.

Akizungumza baada ya kutoa agizo hilo, Waziri Mwakyembe amesema, "tumepata malalamiko siyo ya waamuzi pekee, ila hata kwa mambo mengine mfano timu inasahaulika kwenye ratiba na mambo mengine na wahusika hawachukui hatua, serikali haiingilii soka lakini yakizidi lazima tuingie tutoe muafaka".

"Tukiamua tucheze soka tucheze soka, serikali ya awamu ya 5 siyo ya ubabaishaji, wadau wanaisumbua Wizara kutuletea barua kila siku. Nimeiagiza BMT wakae wajue kuna nini huko, wakishindwa kupata muafaka. Mimi mwenyewe nitaingilia kati".

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara pia amezungumzia kuhusiana na mwenendo wa waamuzi nchini, amesema kuwa matukio hayo hayapo kwa Simba pekee kama baadhi ya watu wanavyodai.

"Haya maamuzi hayafanyiki kwenye mechi ya Simba tu, jambo la jana lingetokea kwa Simba watu wangesema Simba wanabebwa... lakini kwakuwa imetokea kwa Yanga wanasema ni makosa ya mwamuzi. Lazima mjue kuwa waamuzi ni binadamu, inawezekana uwezo wao ni mdogo au ni makosa tu", amesema Manara.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava